Mambo Ambayo Wanaume Wanakosea Wakati wa Kutongoza Mwanamke

Sikiliza Wasafi FM Popote Duniani Kwakuinsta App Yao Hapa

 

1.PAPARA
wanaume wengi tumekuwa na haraka sana tunapokuwa tukitaka kuaproach hali inayomfanya mwanamke akuwekee ugumu.mfano umekutana na dada mzuri mmesalimiana hapo hapo unamuomba namba yake.mjomba hata akikupa ujue utasumbuka sana kumpata coz atakufikiria sana juu ya uharaka wako.

2.KUJIFAKE
wanaume wengi tumekuwa tukijipandisha au kujionyesha tofauti na hali zetu.ukiwa unaaproach jaribu kuwa real.huwezi kumwambia mdada unafanya kazi benki afu uko na techno

3.KUTOSOMA MOOD YA MWANAMKE
unapomuaproach mwanamke lazma usome mood yake coz sometime unaweza kutoswa coz hujamsoma mwanamke.unamtongozaje mwanamke asubuhi?

4.KUMPONDA UR EX LOVER
mwanamke anakuuliza kwanini uko single,unaanza kumponda ex wako kwa maneno ya kashfa hali kama hii inaweza kumtisha kisaikolojia umtongozae.

5.KULALAMIKA
Unamtongoza mwanamke huku unalalamika juu ya mapenzi oooh mara sijawahi kupendwa.mjomba hapo unaonyesha udhaifu wako.

UKITULIA NA KUMTONGOZA MWANAMKE BILA KUYATENDA HAYA MBONA UTAMPATA KILA UMTAKAE
Sikiliza Wasafi FM Popote Duniani Kwakuinsta App Yao Hapa

Unatamani Kumuacha ila Unashindwa? Ngoja Nikwambie Kitu

Sikiliza Wasafi FM Popote Duniani Kwakuinsta App Yao Hapa

 


Kuna watu wanna Mikwara sana, ukiachana nae anaanza Maneno ya shombo, wengine hudiriki kukwambia ''you cant live without me utarudi tu'', unajiuliza huyu mtu ana Hisa kwenye mishipa yangu ya moyo au ana mrija wa Oxygen yangu ya kutumia kesho?? Kama nilizaliwa peke yangu kwanini nisiweze kuishi wewe ukiondoka??

Maneno ya mkosaji haya, usiyasikilize kamwe! Unapoamua kufanya Maamuzi magumu usisikilize kingine chochote, Follow your heart. Wengi wamegeuzwa watumwa kwa kuamini they cant live bila watu fulani, kisa wamezoeana, au wamekaa muda mrefu kwenye mahusiano, unahisi kama hutaweza... Hamna kitu kisichowezekana, Mungu ameumba kusahau, utapona maumivu na utasonga! Hakuna destiny rahisi ya Kimapenzi bila kufanya maamuzi magumu, lasivyo Jiandae kuwa mtumwa wa mtu fulani, binadamu fulani ambaye naye amegundua wewe ni dhaifu na anatumia udhaifu wako kukutesa maisha yote...

Amua leo, Uwe mtumwa wa mtu au utengeneze furaha yako kwa Kumove on kupata Lover of you life
Sikiliza Wasafi FM Popote Duniani Kwakuinsta App Yao Hapa

NIMEJAA Hofu Kwa Nilichokishuhudia Kwenye Pochi ya Mpenzi Wangu....

Sikiliza Wasafi FM Popote Duniani Kwakuinsta App Yao Hapa

 

Nimepitia misuko suko mingi sana katika mahusiano,ilifika mahali nikaomba wadau mnishauri kwa baadhi ya mambo yaliyonikumba,nawashukuru wengi mlinishauri na maisha yakaendelea.

Nilipata binti,mpole na mtaratibu sana,nimekuwa naye katika vipindi vigumu na hakuwahi kuonyesha hali yoyote yenye mashaka.

Nimeshitushwa sana leo baada ya kuona vitu vya ajabu kwenye mkoba wake,(ambao sikuwahi kuuona tangu nimefahamiana naye,).

Naviweka hapa,wataalamu wa lugha ya kiarabu naomba mnisaidie kutafsiri maana ya maneno haya,nimekuta karatasi ikiwa na picha yangu,imeandikwa kwa maandishi mekundu kwa lugha ya kiarabu,halafu imefungwa na karatasi nyeusi!!!

By Chief Mangu
Sikiliza Wasafi FM Popote Duniani Kwakuinsta App Yao Hapa

Wanawake/Wasichana wa Aina Hii ni Hatari Sana Kuwa Nao Kimapenzi

Sikiliza Wasafi FM Popote Duniani Kwakuinsta App Yao Hapa

 

1.Demu wako wa zamani
Ni vizuri kutorudia mahusiano ya zamani na zaidi kama kwenye mahusiano yenu ya mwanzo mambo hayakuishia kwa uzuri. Sababu kuu ya msingi, kiukweli ni kwamba hakika mwanzoni mlikuwa hamuendani na ndio sababu ya iliyopelekea kuvunjika kwa mahusiano yenu, ndani ya hizo sababu kuna vitu vilivyopolekea kutokea kwa hayo, ukichunguza na kuziangalia kwa makini utagundua ni za asili na ambazo si rahisi kwa mmoja wenu kuzibadilisha sababu ni vitu au mambo ambayo yatakuwa ni ya damuni.

2.Dada wa rafiki yako kipenzi
Epukana na kujiingiza kwenye mahusiano na dada wa rafiki yako. Si tu kwamba utaweza kujiingiza kwenye uhasama na chuki kama mambo hayatakwenda sawa, ila pia utaweza kujiweka kwenye mazingira ya kujikuta siku moja unapigwa hata ngumi za uso sababu tu ulimuumiza dada yake. Pia, utaweza kumkosa mtu ambaye ndie alikuwa ni kimbilio lako kwa mambo mbalimbali pale ambapo itatokea wewe na dada yake mambo kutokwenda sawa, sababu hapo patakuwa na mgongano wa kimaslahi kwa huyo rafiki yako.

3.Wanawake wenye mambo mengi
Kiukweli, kutoka na watu kama hawa kinaweza kuwa ni kitu cha kufurahisha, ila mwisho wa siku itakuingiza kwenye matatizo. Mara zote kumbuka ni vyema kuwa salama kuliko kujuta. Usijiingize kwenye majaribu ambayo utakuja kuyajutia kwa maisha yako yote.

4.Wanawake wanaopenda hela kupitiliza (Wachunaji)
Kuwa mbali nao, labda kama unataka salio lako limalizike pasipo wewe kujifahamu. Naamini hili kila mmoja analifahamu na halihitaji darasa zaidi.

5.Demu wa zamani wa rafiki yako
Kama unathamini urafiki wako na mshikaji wako achana na habari ya kutoka na aliyekuwa demu wake. Mambo yanaweza kubadilika na kuwa kama au zaidi ya yaliyotokea kwa rafiki yako na ikaja kula kwako zaidi. Wakati mwengine inaweza tengeneza chuki kati yako na rafiki yako, huku akiamini kwamba ulikuwa unatoka au kumnyemelea demu wake toka zamani.

Wadau mademu wapo wengi sana, fanya kutafuta wengine nje ya hawa….. ni ushauri tu.
Sikiliza Wasafi FM Popote Duniani Kwakuinsta App Yao Hapa

HII Ndiyo DNA ya Kitamaduni Kabisa Yenye Ukweli 90% Kujua Kama Mtoto ni Wako Au Umebambikiziwa

Sikiliza Wasafi FM Popote Duniani Kwakuinsta App Yao Hapa

 


Hapo nyuma nilikuwa nikiambiwa kuwa Wazee ni dawa na hazina hasa katika kutupatia Maarifa sisi Vijana na Wajukuu zao nilikuwa sitaki kuamini na kuna wakati hata nilikuwa nikimwona tu Mtu Mzee au Bibi basi nawapuuza tu nikiamini kwamba hawana jipya tena.


Hali hii ilibadilika taratibu baada ya kuanza sasa kupenda kukaa na Wazee mara kwa mara ili niweze kuchota hekima na busara zao na kwa kweli tokea nianze kurudisha imani yangu kwa Wazee naona nimefaidika mno katika kupata Elimu dunia ambayo wengi wetu hatuna na tumebaki tu kujikita katika Elimu zetu hizi za Kitaaluma tukidhani kuwa pekee ndizo zitatukomboa Kifikra.

Pamewahi kuwa na nadharia kwamba akina Babu na Bibi wao huweza kujua Mtoto mchanga aliyezaliwa leo kama ni Mjukuu wao kweli au labda Mtoto wao amebambikiwa huyo Mtoto na Mama yake kutokana na usaliti wake ndani ya Mahusiano yao.

Niliamua kufanya mazugumzo yangu ya Kiudadisi kabisa na Wazee wa Mikoa mbalimbali ili tu niweze kujua kama kuna njia yoyote mbadala ( ukiachia ile ya kufanya DNA ambayo wengi wetu ndiyo tumeizoea ) ya Kiutamaduni ya kuweza kujua kama Mtoto aliyezaliwa na Mpenzi au Mke wangu ni wangu au nimebambikiwa.

Ndugu zanguni wana JF majibu niliyoyapata kutoka kwa hao Wazee wote yalinifanya nizidi kuamini kuwa kumbe tukiwatumia vizuri hawa Wazee bila kuwadhihaki, kuwadharau na kuwapuuza basi wanaweza kuwa sehemu yetu kubwa sana ya kupata maarifa na hata kutatua changamoto zetu zingine za kimaisha ambazo nyingi zimekuja kutokana na mfumo wetu huu wa Kimaisha ulioratibiwa na utandawazi ambao kimsingi umetuharibu na unaendelea kutuharibu.

Leo naweka hapa hadharani jinsi ya Wewe Mwanaume mwenzangu ambaye una Mtoto au hata upo mbioni kumpata Mtoto kuweza kujua kama huyo Mtoto aliyezaliwa ni wako kweli Kibailojia au umebambikiwa tu. Na nitangulize samahani kama kuna ambao nitawakwaza juu ya huu ukweli wa DNA ya Kiutamaduni ila nia yangu ni kuwaokoa tu Wanaume wenzangu juu ya hii kadhia ambayo imesababisha mitafaruku mingi mno katika Mahusiano na Ndoa.

HUU NDIYO UKWELI WA DNA YA KIUTAMADUNI

Ewe Mwanaume mwenzangu uliye na Mtoto hapo ulipo awe bado mdogo au tayari ameshakuwa Mtu mzima chukua mkono wowote uwe wa Kulia au wa Kushoto wa Mtoto unayeamini kabisa kuwa ni wako kisha kwa umakini kabisa huku ukiwa umetulia angalia pale katikati ya mkono ( katika palm ) linganisha ile mistari iliyopo na ya Mwanao kisha ukimaliza linganisha tena mistari iliyopo katika vidole vyake na vya Kwako.

Kwa mujibu wa hawa Mababu na Mabibi ( Wazee ) wanasema kuwa endapo Wewe Baba ukilinganisha hizo alama nilizokuelekeza hapo juu na kuona kuwa hazifanani na zako basi automatically jua ya kwamba huyo Mtoto siyo wako 100% na kwamba Mpenzi wako / Mkeo amekubambikia tu hivyo cha msingi tu ukishajua huu ukweli piga moyo konde, msamehe na maisha yaendelee.

Wamesema kwamba hata iweje Mtoto wako wa damu yako kabisa akizaliwa ni lazima tu alama zilizopo katika Mikono yake zitafanana na Wewe na wala haziongopi. Na ndipo hawa akina Babu na Bibi wakaenda mbele na kusema kuwa hiyo mbinu ndiyo iliweza kuwafanya wao huko nyuma wasiwe wasaliti na wawe wakweli kwani katika Makabila mengi hiyo mbinu ilishasambazwa na iliendelea kutumika. Na ili kulithibitisha hili ndiyo maana Bibi yoyote au Babu akipelekewa Mjukuu akimbeba tu kisirisiri atawahi kuuangalia mkono wa Mjukuu wake na hasa vidole vyake kisha atajua kuwa Mtoto wao kazalisha au kazalishiwa na wenzake.

MWISHO

Andiko langu hili kamwe halina kusudio la kuharibu Mahusiano yoyote yale bali naomba tulitumie tu kama sehemu ya kujipatia maarifa ambayo nina amini wengi wetu ( Vijana na Mabinti ) wa leo tulikuwa hatuna na kama itatokea umekuta umezalishiwa ( umebambikiwa ) basi ninachokuomba tu samehe, piga moyo konde na songa mbele na ule msemo wa Wahenga kuwa siku zote Kitanda hakizai haramu.

Kwa Dada zangu Wapendwa najua huu uzi utawaudhi na kuwauma ila tuvumiliane tu na pengine huu uzi unaweza ukawa msaada mkubwa sana Kwenu hasa katika kuwafanya mbadilike na muache kuwabambikia Wanaume zenu Watoto ambao siyo wao kwani hata Takwimu za mara ya mwisho za Mkemia Mkuu wa Serikali zinasema kuwa 49% ya Wanaume wa Kitanzania wanalea Watoto wasio wao ( wamebambikiwa ) hivyo mtusamehe na mtuonee huruma sisi Wanaume.

Nawasilisha.
Sikiliza Wasafi FM Popote Duniani Kwakuinsta App Yao Hapa

Siku Mbili Tu Anadai ana Mimba yangu..Soma Kisa Kizima Hapa...

Sikiliza Wasafi FM Popote Duniani Kwakuinsta App Yao Hapa

 

Wiki iliyopita ya Pasaka nilipewa taarifa na ndugu yangu sista alieolewa na muhindi, kwamba wanaomba msaada jumatatu saa6 usiku niwapeleke airport wanaelekea india, kwa sababu hawakua na gari, nikawakubalia, ilivyofika hjiyo cku nikawafuata saa 5 ucku, ili waandae mizgo yao kwanza.

Ghafla nashtuka namuona mtoto mrembo kavaa kanga ni mweupe akiwasaidia kubeba mabegi na kupakia kwenye gari, ikabidi nimuulize sista kwamba huyu dada ni nani, akanijibu ni dada wa nyumba ya pili hapo tumemuomba awe anakaa hapa kwa mda sisi tukiwa india, maana hapakua na mtu nyumba yote ile. nikamjibu OK, akili yote iliamia kwa yule mrembo.

Muda ukafika nikawapeleka airport nikakaa nao mpaka saa saba nikageuza kurudi zangu. nikasema hata lazima nirudi kulekule kwa sista nikamalizane nae yule mtoto, kwa kisingizio cha kusahau ufunguo. aisee nilikamua mafutaa mpaka mbez beach, ninakaa nao karbu umbali wa km3 toka kwao.

Nikafika nikapga hodi, mtoto akaja fasta akauliza nani, nikamjibu kaka rich hapa nimesahau funguo ya gheto kwangu, akasema wapi, nikamjibu kwenye kochi, akasema subiri nikuletee, nikamjibu poa, hapo bado hajafungua geti, na ufunguo nilikua ninao mwenyewe, akarud akisema hauoni, nikamwambia fungua nije niangalie mwenyewe, akafungua geti( KOSA) nikazama ndan nikijidai natafuta ufunguo, saa saba ya usiku hiyo, huku yeye kasimama ameshika kiuno ananiangalia ninavyohangaika kubidua masofa ya watu kama kweli vile.

Nikamwita anisaidie, akaja, nikasema hapana ngoja nivue shati maana naswet vbaya, uzalendo ukanishinda nikamfata kwa nyuma nikamkumbatia, lahaulaa akapiga kelele, nikamwambia usiogope, nikamweleza yaliyo moyoni yote mtoto akaelewa ila akawa mgumu kujirahisisha.

Akakimbilia chumban kwake na mlango kaacha wazi akisema nisimsumbue anataka kulala, nikacheka kimoyomoyo nikisema kwisha habari yako umeniachia mlango wazi pia umevaa kanga moja, nikamfata hukohuko nikaomba mzigo akawa anakataa mara ooh ndo tunaona mara ya kwanza, mara nipo danger maneno kibao, huku natomasa tu nikaona mtoto anapumua kwa kasi huku akiongea maneno yasiyoeleweka, nikasema tayariiii.

Mtoto akanipa ushirikiano vya kutosha mpaka saa 10 alfajir mwanaume naondoka kwa watu mku mtoto akinisindikiza mpaka getin, kesho yake nipo job akili yangu yote inamuwaza yeye nikasema hataa lazima niende tena, nikamwendea hewani nikaimbisha tena akakubali niende saa tano ila sio na gari maana ndugu watastukia ishu kwa sabab wapo karbu nao nawanajua muhndi kasepa na mimi saa 10.

Muda ukafika nikachapa lapa mpaka kwa sista nikajilia vyangu mpaka saa 12.nilishiba aisee. Balaa linaanzia hapa baada kupga mara mbili na mara mwisho, mtoto akaanza kusumbua mara ooh sioni sku zangu na hii itakua mimba yako, nikamwambia acha ujinga wako yaani siku mbili tu cku huzioni, hiyo itakua ya watu wengine unataka kunisingzia, mi sihusiki, nikaanza kupokea matusi ya kutosha na pia akinitishia kuwa atamwambia sista kwamba cku ile nilivyowapeleka airport nilirudi kumbaka.

Aisee nilitaka kuanguka kwenye kiti ofisini, kuhusu kama akimwambia sista huu ujinga nilioufanya kwake. Ikabidi niwe mpole tu kukubali hali, akili inanituma nikamchoropoe bila ya yeye mwenyew kujua, maana baby wangu akijua hili nimekwisha.

Nataka nimpelekee zawad ya juice iliyo na vikorombwezo vya kuitoa hiyo mimba. Mimi ni pharmacist.

Imeandikwa na Richard77
Sikiliza Wasafi FM Popote Duniani Kwakuinsta App Yao Hapa

Faida za Kufanya Mapenzi Mara Nyingi Hizi Hapa...

Sikiliza Wasafi FM Popote Duniani Kwakuinsta App Yao Hapa
Watafiti wa Kizungu wanakesha kufanya tafiti chungu mzima na zingine majibu yake zinaweza kukuacha mdomo wazi.

Kwa mfano huu – jamaa eti wamebaini kuwa kushiriki tendo la ndoa mara nyingi kunaongeza imani ya kiroho na hata imani kwa Mungu! Makubwa..

Kwa mujibu wa utafiti, tendo la ndoa hutoa homoni ya upendo iitwayo oxytocin ambayo haiishi tu kutengeneza ukaribu wa kijamii bali pia imani ya Mungu – hususan kwa wanaume.

Watafiti katika chuo kikuu cha Duke cha North Carolina, wanasema kuwa tendo hilo huhamasisha imani – ama kuongeza imani katika Mungu na dini.

Utafiti huo umeliochapishwa mwishoni mwa wiki unaangalia homoni ya oxytocin ambayo huamshwa zaidi wakati wa kufanya mapenzi, wakati wa kuzaa na wakati wa kunyonyesha.
Sikiliza Wasafi FM Popote Duniani Kwakuinsta App Yao Hapa

Kina Kaka Acheni Ujinga, Hakuna Mwanamke Asiyetaka Kuhongwa! Shauri Lako

Sikiliza Wasafi FM Popote Duniani Kwakuinsta App Yao Hapa
Wakaka acheni ujinga, ukitaka dem wa peke yako basi jua kugharamia. Nakwambia wanawake asilimia kubwa hukumbuka fadhila za mtu anayemgharamikia kuliko wanaume wa ai lavii yuu maneno.

Usidanganyike hakuna mwanamke asiyependa kuhongwa, kuna wanawake natural hawawezi kuomba,ila anakua anataka ujiongeze, sasa kama wewe ni wale ambao akikwambia "baby kifurushi kimekata" unajibu "basi mumy pls ukiweka nicheki" umekwishaaaa!!!

Anakueleza shida zake unasema "mpenz vumilia nakuombea upate kazi" kaka umeishaaa kabisaaaa aiseeee!!! Huna chako!!!
Ujue ulivyokata simu umefatiwa na bonge la msonyoooo ka sio tusi la nguoni basi la mwilini. Yani wewe kama ni wale wa baby mwezi huu mambo yangu hayako sawa, nakuapia unagongewa weeeeeeeeee . . . . mpaka ujute!!

Unamuona dem wako kasuka, kapendeza na hana kazi, we umekazana tu "beibi umependeza" . . . . . . Yaani wee boya ujue!! Mume mwenzio kaweka nguvu, so anapokua anatoa calendar za kukuona tulizana, service inakua kwa anayehudumia.
Hakuna dem wa siku hizi anayetaka kuambiwa nakupenda jumapili mpaka jumapili we mhonge tu uone heshima.
____________
Ujumbe wa Leo:
Old friends pass away, new friends appear. It is just like the days. An old day passes, a new day arrives. The important thing is to make it meaningful: a meaningful friend - or a meaningful day.
Sikiliza Wasafi FM Popote Duniani Kwakuinsta App Yao Hapa

Kama hii ni Kweli basi Wanaume wengi Tunachekwa sana Vitandani

Sikiliza Wasafi FM Popote Duniani Kwakuinsta App Yao Hapa
Inasemekana kwamba ukiwa unafanya mapenzi / unabaiolojiana na Mwanamke yoyote yule halafu pale unapomaliza mshindo wako / unapiga bao lako la Kichuya au Ajib halafu ukaona Yule Mwanamke hakukumbatii kwa kukubana kwa nguvu kabisa hadi hata unashindwa kupumua vizuri na kutikisa kabisa mwili wako na Fito zako ( miguu ) basi jua ya kwamba hapo 100% hujamfikisha / hujamtosheleza Kimahaba na ulichokifanya Kisayansi wanasema work done zero.Ila ikitokea kinyume chake basi jua kwamba Mwanamume umeshughulika na Mwanamke kafika katika Kilele chake cha Utamu na Raha ya Mkuyenge wako.

Je kuna Wanabaiolojia wenzangu hasa Wanaume wenzangu je hapa kuna ukweli wowtote labda? Hii habari / taarifa nimeipokea kwa mshtuko mkubwa mno hadi nimeshakosa raha kwani kusema kweli Mimi binafsi nakumbuka kabisa mwaka wa mwisho Kukumbatiwa hivyo kama ilivyobainishwa hapo juu nadhani ilikuwa ni mwaka 2000.

Sasa nawaza tu mwenyewe ( Am just thinking aloud ) kwamba kumbe inawezekana kabisa GENTAMYCINE tokea mwaka 2001 hadi sasa 2017 Wanawake / Mademu wote niwaowabandua / ninaobaiolojiana nao nafanya tu hiyo work done zero? Kwani sijawahi Kukumbatiwa hivyo kama hao Wataalam wa Mapenzi / Mahaba wanavyosema hapo juu.

Na sijui kwanini na Mimi niliamua kumuhoji hili swali huyu Mtaalam kwani hayo majibu yake sasa yamekuwa ni maumivu na mateso makubwa sana moyoni mwangu ila moyo wangu utatulia pale labda na Wataalam wengine wa JamiiForums watakapoliweka hili sawa. Yaani nawaza kwahiyo kumbe kujipinda Kwangu kote tokea 2001 hadi sasa 2017 nafanya Kazi bure tu / work done zero mbele ya Mbunye?

Nawasilisha.
Sikiliza Wasafi FM Popote Duniani Kwakuinsta App Yao Hapa

Unajua Vipi Kama Mpenzi Wako Anaridhika na Wewe?

Sikiliza Wasafi FM Popote Duniani Kwakuinsta App Yao Hapa
Ni raha sana kuwa na mtu unayemridhia katika mahusiano yako. Mtu ambaye kwa kumridhia kwako, matendo na kauli zake zinasababisha furaha na amani katika maisha yako.

 Wengi wasio na furaha katika mahusiano, wako kwenye hali hiyo sio tu kwa sababu wanatendewa vibaya na wenzao ama wanakosa baadhi ya mahitaji muhimu. Hapana. Wengi wako hivyo kwa sababu wako na watu wasio waridhia katika maisha yao.

 Kuwa na mtu ambaye hujamridhia  wakati mwingine ni kama kula chakula ambacho sio chaguo lako. Mbali na kushiba ila hakikupi ladha na utamu stahili katika ulimi. Na kwa maana hiyo hujisikii fahari wala raha kukila.

 Mahusiano yanayotokana na maridhiano baina ya wahusika wawili, mbali na faida zingine ila pia yanasababisha furaha zaidi na hamu kubwa kwa kila mmoja juu ya mwenzake.

 Ikiwa uko na mtu iliyemridhia hata hisia na akili yako vitamtafsiri vizuri. Kwa sababu hiyo utajikuta ukiona raha kuongozana naye, kula naye pamoja, kuoga naye na hata kushiriki naye kila linalofaa.

 Kama ukiwa na mtu ambaye hujamridhia kwa kiwango stahili unaweza kujikuta hata huna hamu ya kukutana naye faragha. Unajikuta hujisikii hata kumuomba radhi ukimkosea. Unajikuta tu hata kumtambulisha kwa ndugu na jamaa huoni kama ni muhimu sana.

Swali, unajuaje kama mwenzako ameridhia kwa kiwango stahili kuwa na wewe? Unajuaje kama mwenzako hakukubali kuwa na wewe kwa sababu ya kazi ama umasikini wake tu? Unajuaje kama mwenzako kawa na wewe kwa sababu aliachwa katika mahusiano yake yaliopita hivyo akaamua kuwa na wewe kudhihirisha kuwa yeye bado ni bora na sio sababu anakupenda?

 Kwa haraka kama unataka kujua kama mwenzako kawa na wewe kwa sababu ya msukumo halisi wa hisia zake juu yako. Ebu tazama matendo na kauli zake kisha tazama mwenendo wake wa ujumla juu yako.

 Anafurahia uwepo wako? Kauli na matendo yake hata kama anazungumza na kufanya  vitu vingine na wewe, huwa vinabeba ujumbe gani?

 Mtu mwenye uzito wa mapenzi kwa mpenzi wake, jumla ya matendo yake hubeba ujumbe wa kimapenzi kwa muhusika. Mfano, akimkosea muhusika hujiona ana jukumu na ulazima wa kumuomba msamaha. Huona haja ya kufanya hivyo kwa sababu mapenzi halisi huleta unyenyekevu na huruma. Mapenzi halisi humfanya mtu ajione ana jukumu la kuhakikisha furaha na amani kwa mwenzake.

 Tafiti zinaonesha watu wengi wako katika mahusiano na watu wasio waridhia kabisa. Kwa sababu hiyo ndio maana usaliti na migogoro imekuwa mingi sana. kwa sababu hiyo ndio maana watu wengi wako katika mahusiano huku wakiwa na huzuni na hawajui kwanini hawana furaha.

 Kwa sababu ya watu kuishi na watu wasiowaridhia kwa kiwango stahili, basi hata idadi ya watu kuachana na kusalitiana imekuwa kubwa zaidi. Mtu haoni ubaya kuachana na mwenzake kwa sababu kwake kitendo hiko ni sawa na kupata uhuru wa kufurahia maisha na mapenzi.

 Mapenzi sio sehemu ya kuonyesha ufahari ama ukomando wako. Mahusiano sio sehemu ya kujaribu ama kumkomoa mtu. Mahusiano ya kimapenzi ni sehemu ya kulea hisia zako za amani na furaha. Ni sehemu muafaka kwa ajili ya kukutana na mtu ambaye anaweza kugeuka mwiba katika maisha yako hata ukaona maisha hayafai ama kukutana na mtu atakayekufanya ujivunie naye na awe mshirika mwema katika safari yako ya kupata mafanikio na amani ya kweli ya nafsi.
Sikiliza Wasafi FM Popote Duniani Kwakuinsta App Yao Hapa

Jipange Dada Usidhani Ndoa ni Kama Kupiga Picha Huku Umejibinua Makalio

Sikiliza Wasafi FM Popote Duniani Kwakuinsta App Yao Hapa
Umepata bwana, umempenda kweli kweli na umemlalamikia sana eti kwanini hakupeleki kwa wazazi wake kukutambulisha, jamaa akagoma sana mwishowe akaona isiwe kesi akakupeleka.

Wewe badala hata utake hiyo advantage umefika tu siku ya kwanza umeshinda unachati, siku ya pili umeshinda unachati tena ndio unajisifia kwenye groups upo ukweni kumbe wao wanakutazama tu na kukupimia wala hawakwambii kitu.

Siku ya tatu wanakwambia leo ni zamu yako kupika, unaingia jikoni unaona kila kitu kigeni vya huku unaweka kule, vya kule unaweka huku (yaani hujui kupika chochote)

Sufuria unashika kama umeshika power bank, unapika na lipstick, mdomo mwekundu utafikiri mtoto wa jini katoka kufundishwa kunyonya damu tena huku umevaa saa, umevaa culture zimejaa nusu ya mkono, umevaa mini skirt kama wafanyakazi wa Emirates.

Msosi wa wakwe huwezi kupika. Ukiambiwa hufai kuolewa unavuta mdomo utafikiri umenyimwa USB cable ubust smartphone yako.

Unaanza kulalamika wakwe hawakupendi, unalalamika wee, unashindwa kuelewa kuwa wewe ndo tatizo.

Usitake kuolewa ukidhani mumeo atakula chips na wewe utakuwa utakula pizza kila siku, jifunze hata kuchemsha chai basi au unadhani google wataleta app ambayo unaweka USB kwenye simu yako alafu unaielekezea kwenye sahani inaproduce msosi.

#Jipange dada usidhani ndoa ni kama kupiga picha huku umejibinua makalio
Sikiliza Wasafi FM Popote Duniani Kwakuinsta App Yao Hapa

Je, Ntakuwa Nimemuharibu Mtoto? Nimefanya Mapenzi na Mwanaume Ambaye si Baba wa Mtoto...

Sikiliza Wasafi FM Popote Duniani Kwakuinsta App Yao Hapa
Mimi nina mtoto wa miezi 10 sasa, niliachana na aliyenipa ujauzito nikiwa na mimba ya miezi 2 mwaka jana mwezi wa 2, na tangu mwaka jana nilikua sijakutana kimwili na mwanaume yoyote yaani nimekaa mwaka 1 na miez 5.

Miezi mitatu iliyopita nilikutana na kaka mmoja akawa anataka kunioa, but juzi nikashiriki nae tendo kibinadamu, na mimi na hisia kweli.Nilisex nae mara 1 tu na nilienda kuoga kabla sijamnyonyesha mtoto.

Naomba kuuliza inaweza kumdhuru mtoto?

Je, nifanyeje?

Msinielewe vibaya ndugu yangu baba mtoto yuko mbali na ana mwanamke mwingine .

Hana muda na mimi kabisa, mimi ni binadamu hisia zilinizidi tu nikawa nimefanya hivyo.
Sikiliza Wasafi FM Popote Duniani Kwakuinsta App Yao Hapa

Mwanamke Ukifaulu Hili, Ndoa Yako itadumu

Sikiliza Wasafi FM Popote Duniani Kwakuinsta App Yao Hapa

Moja kati ya vitu vinavyowavutia wanaume kwa wake zao ni mapishi. Mke ukiweza kumteka mumeo katika suala la mapishi, mumeo hatokuwa na sababu ya kutokula chakula unachokipika, lakini pia atakauwa mwenye kujitahidi kurudi nyumbani mapema kuja kula chakula kitamu kilichopikwa na mkewe.

Mke unapokuwa upo jikoni unaandaa chakula, ni lazima ujue kuwa atakaekula chakula hicho ni mumeo, hivyo ni vizuri ukatumia ujuzi wako wote kuhakikisha mumeo anakula chakula kizuri.

Wanawake wengi wanakawaida ya kupika chakula kizuri siku za sikukuu, hapo ndio anajitahidi kutumia uelewa wake wote katika kupika ili tu aonekane na majirani na si mumewe, au siku akisikia mume anakuja na mgeni au rafki yake ndio unataka upike vizuri, hilo si jambo jema.

Jitahidi kumpikia mumeo kila siku chakula kizuri, mvutie mumeo kwa chakula chako, mfanye kila anapopata muda wa mapumziko kazini arudi nyumbani kula. Utundu wa mwanamke unaanzia jikoni
Sikiliza Wasafi FM Popote Duniani Kwakuinsta App Yao Hapa

Ushauri: Nina Naumbile Madogo ya Uume (Kibamia), Naogopa Kutembea na Wasichana

Sikiliza Wasafi FM Popote Duniani Kwakuinsta App Yao Hapa
Ushauri: Nina Naumbile Madogo ya Uume (Kibamia), Naogopa Kutembea na Wasichana
Amakweli mungu hakunyimi vyoote na haupi vyoote pia. Mimi ni kijana wa miaka 21, mwembamba kiasi nina body naturaly,maji ya kunde, mrefu wastani sio handsam sana but mtanashati najiheshimu, mstaarabu kutokana na sifa nilizo kuwa nazo imepelejea kupendwa sana na wanawake.
Wengine hupigana na kupelekana hadi polisi kwajili yangu pasipo mimi kuwa na mahusiano nao yani ni wivu tu na nimetongozwa na wanawake tangu nikiwa na miaka 15 na wengine ni wakubwa kwangu na wengine wanakuja hadi mbele ya mama na kueleza hisia zao kwangu ila mimi sina mpango nao kabisa yani.

Hii inapelekea hadi mama yangu kupoteza imani na mimi kwa kuhisi huenda mwanae ni shoga ama sifanyi kazi kama dume.Ila mimi sio kama siwatamani au siwataki ila nina tatizo moja linalonifanya mpaka nishindwe kujielewa wakati mwingine najipiga ukutani kwa hasira, but nashindwa nifanye nini.
Ninawaza sijui nimwambie mama yangu au baba yangu ila nawaza nitaanza je kuwaambia tatizo langu ikiwa baba ni mkali sana na mda mwingine hataki hata salamu na katika familia walio nitangulia kuzaliwa ni wanawake wote daaaah.! inaumasana ninapo muona mamayangu akitoa chozi pindi akiwa na waschana Wanaokuja mbele yake kwaajili yangu.

Pia hii imenifanya nishindwe hata kutembea mtaani kwa kuhisiwa mimi ni shoga ila tatizo langu sio kabisa yani daah..! Nawaza nitafanya vipi mapenzi na msichana ikiwa mimi nina UUME MDOGO saana nilipo upima kwa rula ni wa nchi 4 so hivi msichana yeyote anaweza kuhisi uume huu kweli daaah..
Why mimi waungwana naombeni msaada ni nini nifanye nimwambie mama akamueleze baba labda atanisaidia kupata dawa au kama kuna dawa ni wapi napata na ni ipi coz naona ninakoelekea sio kabisa.

Naombeni msaada naombeni
Sikiliza Wasafi FM Popote Duniani Kwakuinsta App Yao Hapa

Kazi Kwenu Mabinti wa KIBONGO Bilionea Tajiri Japan Atafuta Mchumba wa Kusafiri Naye Mwezini

Sikiliza Wasafi FM Popote Duniani Kwakuinsta App Yao Hapa
Bilionea wa Japan Yusaku Maezawa anamtafuta mwanamke atakayekuwa "mpenzi wa maisha" ili aandamane naye kutalii anga za mbali hadi mwezini.

Mwanamitindo huyo wa miaka 44, anajiandaa kuwa abiri wa kwanza kwenda mwezini kwa kutumia roketi maalumu inayofahamika kama ''Starship''.

Safari hiyo iliyopangiwa kufanyika mwaka 2023, itakuwa ya kwanza kwa binadamu kwenda mwezini tangu mwaka 1972.

Katika ombi la mtandaoni, Bw. Maezawa anasema kuwa anataka kufurahia safari hiyo na mwanamke wa kipekee.

Mfanyibiashara huyo ambaye hivi karibuni aliachana na mpenzi wake muigizaji Ayame Goriki mwenye umri wa miaka 27, ametoa wito kwa wanawake kuwasilisha maombi yao kuhusu"safari hiyo ya kipekee" katika tuvuti yake.

"Japo hisia ya upweke imeanza kunizonga, nafikiria kitu kimoja: kuendelea kumpenda mpenzi wangu," Bwana Maezawa aliandika katika tuvuti yake.

"Nataka kumpata 'mpenzi wa maisha'," Bwana Maezawa. "nikiwa na mpenzi wangu mtarajiwa wa maisha, nataka kuutangazia ulimwengu penzi letu nikiwa mwezini."

Tovuti hiyo imeweka masharti pamoja na maelezo kuhusu jinsi ya kuwasilisha maombi katika mchakato huo utakaochukua miezi mitatu.

Masharti ya kushiriki lazima uwe bila mpenzi, uwe na miaka zaidi ya 20, uwe na mtazamo mzuri wa maisha na ufurahie kuzuru anga za mbali.

Muda wa mwisho wa kuwasilisha maombi ni Januari 17 ambapo uamuzi wa mwisho kuhusu mpenzi wa Bw. Maezawa utatolewa mwisho wa mwezi Machi.

Bilionea huyo ambaye amejizolea sifa kwa kuwa mpiga ngoma katika bendi ya punk, anajulikana kwa kujihusisha na visa ambavyo huzua gumzo na kuwaacha watu midomo wazi.

Mapema mwezi huu, Bw. Maezawa aliahidi kupeana yen milioni 100m sawa na ($925,000; £725,000) kwa watu 100 watakao share ujumbe wake wa twitter .

"Unachotakiwa kufanya ili kushiriki ni kunifuatilia kwa kutweet tena (Retweet)," alisema.

Mwanzilishi wa biashara tya kuuza nguo mtandaoni nchini Japan Zozo Inc, Bw. Maezawa alijizolea utajiri mkubwa katika ulimwengu wa uanamitindo.

Anaamniwa kuwa na utajiri wa karibu $3bn, sehemu kubwa ya pesa hizo anatumia katika sanaa.
Sikiliza Wasafi FM Popote Duniani Kwakuinsta App Yao Hapa

Huyu Mwanamke Anapenda Mapenzi Kuliko Kawaida Mpaka Nakuwa Mtoro Kazini

Sikiliza Wasafi FM Popote Duniani Kwakuinsta App Yao Hapa
Kuna jambo linanishinda hapa mwenzenu huyu mwanamke anapenda mapenzi sana mpaka nataka nihame nyumba.

Kitu kinachonishinda nikiwa faragha na huyu mwandani wangu.... nikishamaliza huwa nakuwa nimechoka na kizunguzungu. sasa kama siku tatu zilizoissha niliitwa na bosi wangu kuhusu tabia nayoionyesha. nilijitetea sana.

Nikaanzisha mtindo, namuomba work mate wangu anisainie kissha nakuja baadaye. kwa kweli hili swala la mapenzi kila siku nimelishindwa.

Nikitoka kazini napita sehemu flani napoteza muda saa ziende. nikifika nyumbani nakuta nasumbiriwa kama kitoweo. ukimkaushia mara akutekenye, akukalie, fujo tupu unajikuta ushafanya. kwa kweli hapa pamenishinda, nakosa nguvu nakuwa kama mgonjwa.

Nitumie mbinu gani angalau ipungue ata kwa mwezi mara mbili maana nashindwa sasa.

By Aleppo/JF
Sikiliza Wasafi FM Popote Duniani Kwakuinsta App Yao Hapa

Msichana wa Kazi 'House Girl' Ameniweka Pabaya Sana

Sikiliza Wasafi FM Popote Duniani Kwakuinsta App Yao Hapa

Mwezi uliopita, mke wangu alisafiri kikazi mkoani. Nikawa nimebaki mimi, msichana wa kazi na watoto wetu 3. Kati ya hizo siku ambazo mke wangu alikuwa safarini nilifanya tendo la mdoa na msichana wa kazi takribani mara 4, sikutaka kufanya naye zaidi ya mara moja ila ukweli mambo aliyonifanyia sikuamini macho yangu, machine full intackt. Siwezi kusema nilifanya nae kimakusudi au bahati mbaya bali muhemko ulinipelekea kufanya hivyo hasa uhuru ulio kuwepo na mavazi ya msichana wa kazi yalichangia.

Kwa bahati mbaya msichana wa kazi anavitu vingi ninavyo vipenda ikiwemo makalio mazuri pamoja na rangi ya mwili wake. Sasa shida katika familia yangu imeanza baada ya mke wangu kurudi. Heshima ile ambayo msichana aliyekuwa nayo kwa mke wangu haipo tena. Kila kukicha mke ni kumpigia makele kutokana na uzembe wa utendaji wake wa kazi. Ikafikia siku msichana wa kazi alimwambia wife kwamba leo upo utanisaidia kufanya kazi. Mbaya zaidi kuna siku mke alikosea alipo mpa nguo zangu afue akawa ameichanganya nguo yangu ya ndani katika hizo nguo.

Msichana akaifua huku akifahamu kwamba ajawahi pewa nguo kama hiyo aifue. Kila siku nimekuwa ni msuluhishi wa matatizo ya mke wangu na msichana wa kazi. Siku moja katika usululishi mke alitamka kwamba huyu siku hizi ananiona tupo sawa. Akili ikanizunguka. Sasa kibembe kilikuwa jana. Mke aliondoka mapema kwenda kazini, nikaamua kumkalisha msichana wa kazi chini kumuhoji mabadiliko yake pamoja na ugomvi wa kila siku kati yake na wife. Sasa wakati namuhoji alibanwa na kitu kooni ikamlazimu akimbilie wash room. Nikabaini msichana ana dalili za ujauzito.

Nikaanza kumtyte kama ana mimba na jee hiyo mimba ni ya nani ili anieleze nijue wapi pa kuanzia. Ukweli mimi nilitembea naye kavu kavu ila nilikuwa makini sana wakati wa kufika mshindo. Nilihakikisha sperm nazimwaga njee. Nikamwambia si anafahamu fika kwamba wakati nilifanya naye mbegu zangu nilizimwaga njee, akanijibu hafahamu. Nilijitahidi sana kumbana ili aniambie ni kijana yupi pale mtaani ana mahusiano naye, lakini alikataa kata kata. Ikanilazimu kwenda pharmacy kununua kifaa cha kumpimia ujauzito. Nikamwomba anipatie mkojo wake nikampima.

Ukweli mistari mwekundu ikatokea miwili ikimaanisha tayari anayo. Nikamjibu kwamba hana mimba ili hali mimi nampeleleza kijana ambaye anamahusiano naye nimfahamu. Binafsi naamini kabisa siyo muhusika wa hiyo hali. Sasa kinachonichanganya mpaka dunia naiona chungu ni hili. Je, ikija kubainika kwamba mimi nilikwisha wahi kushare na msichana wa kazi itakuwaje kwa mke wangu na ndugu jamaa na marafiki? Je ndoa yetu tukufu itakuwaje? Je msichana akisema hiyo mimba ni ya kwangu itakuwaje?

Ndugu zangu hili jambo linaweza mtokea mtu yeyote kati yetu kwa sababu tuna mioyo ya nyama na si ya chuma. Naombeni mnipe option yeyote ambayo aitafanya mke wangu aifahamu hili swala ambayo naweza ifanya within 4 days ahead. Nimechanganyikiwa wandugu, biashara zangu zimeyumba sana na kila nikilifikiria tena hili nachanganyikiwa zaidi, najuta.
Sikiliza Wasafi FM Popote Duniani Kwakuinsta App Yao Hapa

Sad Story:Siwezi Wachukia Wanawake wote..Ila Wamenitenda Sana

Sikiliza Wasafi FM Popote Duniani Kwakuinsta App Yao Hapa

Mimi ni kijana wa kiume nina miaka 24, makazi yangu ni jijini mwanza,nimeamua kushea story yangu ili niweze kupata ushauri kwa watu mbali mbali juu ya nini nifanye baada ya kutendwa katika kila uhusiano ninao anzisha naweza nikasema nilichelewa kidogo kujihusisha na mapenzi kwa mujibu wa Dunia ya sasa,na hii ni kwa sababu nimelelewa na kukua katika familia yenye maadili.

Siwez nikasema nina mvuto mkubwa saana , niko simpo tu kama profile pictures zangu zinavyojieleza lakini siku zote nimejikuta nikiwa kipenzi cha kinadada wengi kulingana na mazingira husika ntakayokua nikiishi, na binafsi me ni mwanamume mtanashati naejpenda sana, mpole na zaid ni mcheshi haswa pengine hizo ndiyo sababu..na story yangu ya mahusiano inaanza nikiwa na miaka 20,kipindi nilipojiunga katika chuo kimoja hapa mwanza.

Baada ya kufika pale chuoni nilijijengea idadi kubwa tu ya marafi na kama unavyojua mtu mcheshi hua ana malafiki wengi ,pamoja na hayo, ckua na mawazo kabisa ya kuwa na msichana kimapenzi richa ya kua nlikua nina miaka 20,na kiukweli nilikua kama naogopa ogopa coz ckuwahi kabla richa ya kua wasichana wengi walikua wakijiweka karibu sana tu na wengi walihisi natoka nao au mmoja wapo..ila baada ya mda kuna mdada mrembo ambae nilimkuta pale chuoni alikua amenizd umri kama miaka 3 hivi,alitokea kunizoea sana,kama kunichukulia chakula.

kuja chumbani kwangu n.k hivyo akatokea kua mtu wangu wa karibu lakini kumbe alikua ananitaka kimapenzi na mwisho wa siku baada ya kua amenitamkia mwenyewe akaja kua galfriend wangu wa kwanza...kiukweli niliyafurahia sdana mahusiano yale,na yeye akawa ndiye mwalimu wangu katika mapenzi.

furaha yangu na huyo dada ilidumu kwa takribani miezi 9,na mambo yalikuja badirika alipokalibia kumaliza chuo, maana alikua
amenitangulia,kidogo kidogo vituko vikaanza mara hapokei cmu,hataki story na mimi,akitoka hataki tuongozane na anatoka akiwa ameupala kupita kiadi,kama mtu mzima kengere ya hatari ikaanza kugonga kua kuna kitu na pengine no more love tena.

Kiukweli nilikua naumia sana,sana tu,coz kuna kipindi alikua ananifokea hata mbele za class mates na ukizingatia mimi ni mpole sana,nilivumilia lakini mambo yalipozidi ikafika hatua nikasema NO,nami nikakata kamba baada ya kugundua kumbe alikua akimegwa na limtu lingine,hivyo nami nikajitahidi kukaa mbali nae ingawa nilikua naumia sana nimwonapo,na hatimae ukafika mda wao wa kufanya mtiani wa mwisho,ila kwa bahati mbaya yeye na baadhi ya wanafunzi walifutiwa mtiani kwa kosa flani kwenye chumba cha mtiani hivyo iliwabidi wabaki wfanye mtiani upya,na hawakuruhusiwa kukaa hostel za chuo,kiukweli nilimhurumia sana EX wangu ,coz ckua na kinyongo na nilikua bdo nampenda,nilimsaidia kumtafutia mahali pa kuishi akifanya mtihani na gharama zingine

Na kwa kipindi hicho alionyesha kubadilika sana ikawa kama mapenzi yameanza upya ila alipomaliza tu mtihani nyodo zikaanza,dharau na kuniumiza kimaksudi(wnawake!!!!)mpaka alipoondoka na mimi nika giv-up kabisaa (COZ MATUKIO NI MENGI CWEZI KUSIMLIA KILA KITU,NAOMBA NILUKE BAADHI YA MATUKIO NA NISIMLIE TU YALIYONIGUSA ZAIDI) ilipita miezi kadhaa nikiwa alone nisitake mwanamke kabisa ila nikaja kukutana na mdada mmoja tulokua tukisali nae -kanisani,nilimvutia,- alinivutia,tukaanzisha mahusiano, (HAPA KATI KATI YALIPITA MAMBO MENGI TU) lakini nikiwa chuoni tulikua tukiwasiliana vzuri tu lakini likizo moja nikiwa kwenye mtanda wa facbook,nikawa napitia plofile yake nikashaangaa kukuta plofile pics yake kuna pic ya mwanaume nasiemjua na relationship status yake inasomeka yumo in relationship na huyo mwanamume,nilimtafuta kujua kinachoendelea akasema ni kweli yuko na mwanaume mwingine ,kumuliza sababu akasema ameamua tu COZ HAWEZI KUA NA MWANAMUME WA KUPIGIANA CMU TU..na kama utani uo ndiyo ukawa mwisho na huu ukawa ni uhusiano wangu wa pili (RICHA YA KUA NILIKUA NI MWANAUME MWENYE MAPENZI HALISI,MWENYE KUJARI
NA KILA KITU ANACHOKIPENDA MWANAMKE) UHUSIANO WA 3:

huyu alikua ni mganda aliekua akisoma chuo jirani na nilichokua nikisoma mimi na nilikutana nae wakati wa maonesho yaliyohusisha vyuo vya maeneo yale,na moja ya maonesho yalikua ni onesho la mavazi na moja wa wahiriki toka chuo nilichokua nilikua ni mimi na siku mbili baada ya tamasha, nilipata friend request kadhaa kwenye facebook na mojawapo alikua ni mdada toka hicho chuo ..MWANZO NILIMPUUZIA SANA LAKINI CKU NDIYO NAMUONA BAADA YA KUPANGA TUONANE,CKUAMINI,NA CWEZI NIKAELEZEA NI KIASI GANI YULE BINT ALIKUA MREMBO,MREMBO HASWAA WA ASILI, so tukawa malafiki,na yeye kama alivyokua yule wa kwanza,alianza kunionesha ishara zote za kua urafiki wa kawaida cyo anao uhitaji,bali ni mapenzi na baada ya kupita mda kidogo nazani kwa kuona celekei aliamu kunifungukia yeye mwenyewe,kama waliotangulia alininiambia kua alinipenda siku nyingi tangu cku ile nimeonesha mavazi chuoni kwao na tangu kipindi hcho alipenda siku moja ajenge mahusiano na mimi..

Nazani hakuna mwanaume alie singo na Rijari then akakataa bahati kam hii,hivyo uhusiano mpya ukazaliwa,akawa msichana wangu wa 3 kimahusiano(SIKUA NAPENDA NA KILA NILIPOANZISHA UHUSIANO RENGO LILIKUA NI LONG TERM RELATIONSHIP BUT CKU ZOTE NILIKUA NIKIANGUKIA KWA GIRLS WASIYO SAHIHI) tulifanya mambo mengi SANA ya kufulahisha katika mapenzi KIASI KWAMBA HAKUKUA NA MWANYA WA KUFIKILIA KUA SIKU MOJA MWENZANGU ATAGEUKA,NA UKWELI KABISA RICHA YA KUA CKUA NA
CKU NYINGI KATIKA MAHUSIANO LAKINI NILIKUA NAJUA NINI MWANAMKE ANATAKA ,NINI NAPASWA NIFANYE NA WAPI NIMFANYE AWE NA FURAHA NA NILIKUA NINAWAPA REASONS ZA KUJIVUNIA KUA THEY GOT A REALY PERFECT MEN..

LAKINI baada ya miezi 5 ya uhusiano alianza kuwa tofauti..mawasiliano akapunguza..mara nyingi akawa hapokei simu zangu NA HATA AKIKUTA MICD CALL ZANGU HASHITUKI KABISA na nilipojaribu kumdadisi kulikoni,alinijbu kua yuko kawaida (NA MARA NYINGI ALIKUA AKINIJBU KUA"KWANI UNATAKA TUZUNGUMZE KUTWA NZIMA AU MMARA KWA MARA NDIYO UJUE KIASI GANI NAKUPENDA" )na zaid alikua akidai ni masomo tu yanamtait,,nilijilazimisha kumwelewa lakin sikulizika na hali ile.

Siku moja nisiyopenda kuikumbuka..na ambayo inaonesha ni kias gani kuna watu wameteswa na mapenzi....nakumbuka cku hiyo nilimtafuta nikawa namsihi abadilike,awe kama zamani coz sikutaka kabisa nimuache au tuacheni coz skua na mpango wa kua na girlfriend mwingine(kama nilivyotangulia kusema kua napenda kua na msimamo kwa msichana mmoja) ..aliniahid kua atabadilika na kwa kuanza akaniomba usiku nimpigie tuongee vizuri kam zamani kwani hata yeye aliyamis sana maongezi yetu matamu ya usiku..niliflahi sana nikijua furaha yangu inaenda kurud tena..na siku hiyo nilijiunga cheka ya 2000 kabisa ili tu maongezi yetu yasijekatishwa njiani.

Usiku wake nilimpigia akapokea lakini kwa sauti kama mtu asiyetaka mtu aliekaribu asikie,akaniambia kua nimtafute baadae,sikujari sana maana nilijua pengine anajisomea Na baada ya nusu saa nilimpigia tena,simu iliita sana pasipo majibu..kwa baadae ikipokelew lakini sauti
niliyoiskia sikuitalajia.. ILIK UA NI SAUTI YA MPENZI WANGU HUYO AKITOA SAUTI KAMA YA MTU ANAEFANYA TENDO LA NGONO msituko na maumivu niliyopata ni siri yangu na nilichofanya badara ya kukata simu,nilitoa kabisa battery ya simu na nikaiwasha kwa baadae wakati nikijaribu kuutafuta usingizi maana kawaida ya kuzima simu kwa mda mlefunikiwa na maumivu makari kabisa simu yangu ilianza kuita na mpigaj akiwa ni huyo mpenzi wangu,nilishtuka na sikupenda kuipokea ila baada ya kuita sana nilipokea na sauti niliyoiskia si ile niliyoitegemea,alikua ni mwanaume,AKINIONYA KUA NI KOME KUENDELEA KUMSUMBUA MSICHANA WAKE,NILIJIKUTA MACHOZI YAKINITOKA KWA UCHUNGU NIKIFKILIA MWENENDO WA MAHUSIANO YANGU YALIYOPITA NA HIKI NINACHOKIPITIA.

Nilikata kabisamawasiliano na huyo binti ila alikuja kunitumia meseji akisema kua nimsamehe kwni kitendo kile hakufanya kwa makusudi ingawa ni kweli yuko ndani ya mahusiano mapya hivyo nimuwie radhi..iliniuma sana NIKIKUMBUKA NILIVYOMPENDA KWA MOYO WOTE NIKAMPA KILA 7BABU YA KUNIPENDA KILA SIKU KIASI WATU WALIOKUA WAKITUONA WALITAMANI WAWE SISI ,NA PIA MAMBO MENGI YA KUSISIMUA NILIYOSHIRIKIANA BUT KAMA MSHUMAA UNAVYOWAKA MPAKA KUZIMA,NDIVYO ILIVYOKUA,KWA MAUMIVU MAKARI SANA ,NIKAACHANA NA YULE (COZ WAT GOES AROUND COMES BACK AROUND DADA YULE AKIWA KWAO UGANDA ALIKUJA NIKUMBUKA NA KUNISUMBUA KILA SIKU,LAKIN KWA KILE ALIKFANYA SIKUTAMANI KABISA KURUDI MAANA NGOZI YA CHUI SIKU ZOTE HAIBADIRIK SO ANGEKUJA KURUDIA TENA niliamua niachane kabisa na mapenzi richa ya wasicha na kazaa kutaka ukaribu na mimi,lakini sikua na hamu nao tena mana kikubwa ilikua ni kulinda heshima yangu,sikupenda nilivoonekana kwa watu kua nabadili wanawake..hivo nilikaa mda mlefu bila kua na mahusiano ya kimapenz na mwanamke yeyote na sasa nikiwa nimeajiriwa kwenye kampun flan hapa mwanza bado kama hitaj la binadam yeyote anaejtambua..nahitaj niwe na mwenzangu..mwanamke tutakaeanzisha mahusiano yenye furaha na upendo...

CWEZ KUWACHUKIA WANAWAKE WOTE SABABU NAJUA C WOTE..NAJUA KUNA BINT SEHEM MWENYE HITAJ KAMA LANGU...LAKIN HAJAWAI PATA NAFAS NA MWANAMUME ANAEMSTAHILI HIVO KUPITIA PAGE HII..NAAMIN KUNA WATU WAZIMA.GREAT THINKERS NA WANAOJITAMBUA NINGEPENDA NIPATE MAWZO NA HTA USHAURI AMBAO UTANJENGA LAKIN PIA KMA YUPO BINT MWENYE MAPENZ YA KWELI ANAEJITAMBUA BAS ANITAFUTE FOR HAPPY N LONG LASTIN RELATIONSHIP CFA:mapenz ya kweli.
rangi yoyote. mvumilivu/mwenye heshima. mcha mungu. ili tusipishane sana kimawazo ni vizuri akiwa na elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea. namba yangu ni:0786696226 NI VIZURI UKINITEXT NAMI NITAKUTAFUTA..AHSANTENI
Sikiliza Wasafi FM Popote Duniani Kwakuinsta App Yao Hapa